Kushindwa kupata Mimba
Tiba Zetu zina Uwezo wa Kufanya yafutayo
Usaidia kuondoa matatizo ya mzunguko wa hedhi kutokuwa na mpangilio, kukosa hedhi wakati si mjamzito maumivu makali sana wakati wa hedhi
Usaidia kuratibu mabadiliko ya vichocheo mwilini. kama upungufu wa homoni ya estrogen
Usaidia kuondoa uvimbe kwenye mji wa mimba
Usaidia kuonda viuvimbe vidogodogo venye maji kwenye ovari
Uzuia na kuondoa maambuzo ya bakteria kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke
Usaidia kuzibua mirija ya mayai iliyoziba
Sababu Zinazofanya Mwanamke Kushindwa Kushika Mimba
Tatizo la mtu kushindwa kushika mimba ni tatizo lilipo kwa jinsia zote mbili tafiti zinaonyesha kuwa wanaume wengi nao pia usumbuliwa na tatizo hili bila ya wao kufahamu. Mwanaume
Mayai kushindwa kupevuka
Hili ni tatizo ambalo uwakumba wanawake kwa kiwango cha asilimia arobaini kwa hiyo
mayai yakishindwa kupevuka usababisha kuwepo kwa ugumba.
Maambukizi sugu ya PID Kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi ya PID usababisha sehemu mbalimbali za via vya uzazi kuziba na kushindwa kuruhusu mayai kupita kwa ajili ya urutubishaji.
Mvurugiko wa homoni
Na lenyewe hili ni tatizo kubwa ambapo homoni uweza kuongezeka au kupungua kwa hiyo kama ni homoni za uzazi zikapungua ni shida na ikiwa zikaongezeka na nalo ni tatizo jingine kwa hiyo homoni zinapaswa kulinga kabisa na kuwa sawia.
Kuwepo kwa uvimbe au maji maji kujaa kwenye sehemu ya kupitisha mayai.
Kuna wakati mwingine mirija ya kupitisha mayai inaweza kujaa maji maji au kwa wakati mwingine kuziba kabisa kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha maambukizi , kwa hiyo mayai hayawezi kupita kutoka kwenye ovaries na kuingia kwenye mirija kwa ajili ya urutubishaji.
Mayai kuharibika kabla ya umri
Kuna wakati mwingine mayai yanaweza kuwepo kabisa na ya kutosha na kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi mayai hayo uharibika kabla ya umri wake hali ambayo usababisha kuwepo kwa kiwango kikubwa cha ugumba kwa akina Mama kwa hiyo matibabu ni lazima Ili kuweza kuzuia maambukizi ya nayosababisha kutokomaa kwa mayai.
Kuwepo kwa matatizo au asidi nyingi kwenye mlango wa kizazi na uke .
Kwa sababu asidi ya kwenye uke uwa ni ya kawaida kwa ajili ya kuruhusu mbegu kupita na kurutubisha mayai Kuna wakati asidi inakuwa nyingi na kusababisha kuuua megu za kiume kabla hazijaendea kurutubisha mayai.
Kuwepo kwa makovu kwenye mji wa mimba
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na makovu kwenye mji wa mimba hali ambayo usababisha mimba kutoweza kutungwa kwa sababu ya kutokuwepo sehemu ya kutungwa.
Uzito wa kupita kiasi
Kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta mwilini usababisha kitendo cha urutubishaji kuleta shida na kusababisha ugumba, kwa hiyo akina Mama wenye uzito wa kupita kiasi ni vizuri kabisa kupunguza Uzito na kupata uja uzito.
Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji
Kwa kawaida Kuna tatizo la magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji nayo uharibu ubora wa mayai na mzunguko wa damu kwa hiyo ni vizuri kabisa kutibu magonjwa haya kabla hayajaleta matatizo.
Kama unamojawapo ya changamoto hizi na ujaweza bado kupata mtoto piga simu kwa ushauri na ikiwa una mojawapo ya changamotoo hizi ila unataka kuiondoa biga simu, kushuglikia tatizo ni sasa ni vyema kuliko kuliacha