Je unasumbuliwamaumivu ya Mifupa na Maungio
Tiba zetu zina uwezo wakufanya yafutayo
Huimarisha mifupa uondoa maummivu ya magonjwa yote ya mifupa
Inazuia kurika na kusagana maungio kwa kuzarisha gegedu upya cartegi
Undoa tatizo la kuvimba kwa miguu
Umarisha meno mifupa na maungio ya mifupa
Ina uwezo wa kuondoa sumu zote za vyakula mwilini
Ina uwezo wa kuondoa tatizo la uzito uliozidi na kushababisha maumivu ya mifupa
Sababu zinazosababisha mtu kuwa katika hari ya maumivu ya viungo
Maumivu ya viungo ni ugonjwa wa kusagika kwa viungo vya mifupa ambalo ni tatizo sugu linalowasumbua watu wengi katika jamii yetu kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya maisha.
Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo hili,ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu.
Ugonjwa wa kusagika kwa mifupa ya viungo ni mojawapo ya sababu zinazoleta maumivu makali ya viungo. ugonjwa huu arthritis unaotokana na hitilafu katika maungio ya mifupa ya binadamu ambao husababisha maumivu makali na pengine kuvimba katika sehemu moja au zaidi ya maungio hayo.
Zifuatazo ni dalili za Magojwa ya mifupa na Maungio
1. Maumivu makali ya nyonga na maungio
2. Miguu kuwaka moto na visigino kuuma
3. Ganzi kwenye mifupa na maungio
4. Maumivu ya mgongo
5. Kushindwa kuchuchumaa au kuinama
6. Kushindwa kutembea umbali mrefu
7. Maungio na Miguu kuvimba au kujaa maji.
8. Maungio kusuguana na kuwaka moto
9. Misuli kukakamaa na kuuma sana
Ukiwa na mojawapo ya daliili hizi basi fahamu fika kuwa tayari upo ndani ya mojawapo ya magojwa ya mifupa. kama Osteoarthritis, Rheumatoid Arthriti, gout
Tiba zetu ni za uhakika na zimesaidia watu wengi karibu kwa ushauri