Tiba ya kutokupata  hedhi 

Hedhi ni matokeo ya kubomoka kwa ukuta wa kizazi ulioandaliwa kushikilia mimba lakini kwa vile mimba haijashika ukuta huu humeguka na kutolewa nje kama damu ya hedhi.
Wanawake huanza hedhi katika kipindi cha kubalehe kuanza miaka 10 mpaka 16 na hedhi huendelea mpaka pale wakifikia menopause(kukoma hedhi) miaka 45 mpaka 55.

Hedhi inapoanza kutoka kwenye balehe inaweza kuchukua mpaka miaka miwili ili mzunguko kukaa sawa. Baada ya balehe hedhi hutengemaa na siku za mzunguko huanza kufanana.
Japo kwa baadhi ya wanawake hata baada ya balehe kupita hedhi haikai sawa na kiwango cha damu inayotoka kinakuwa kidogo ama kingi kupita kiasi hii ndio hupelekea mvurugiko wa hedhi.

Nini kinasababisha Hedhi Kuvurugika?

Mchango wa homoni kuvurugika: Homoni au vichocheo vikuu zinazoratibu mpangilio wa hedhi yako ni estrogen na progesterone, inaweza kuchukua miaka mingi kwa homoni hizi kuwa na uwiano sahihi. Vihatarishi amavyo vinapelekea kuvurugika kwa homoni na hatimaye hedhi kuvurugika ni pamoja na

Matumizi ya uzazi wa mpango wa kisasa kama sindano, vidonge na vijiti

Baada ya kutumia tiba yetu tegemea kupata matokeo haya