Fahamu Chanzo Tatizo Lako Kwa Kupata Tiba Yenye Uhakika Karibu Kwa Ushauri
Tiba hii inauwezo kufanya yafutayo
Inatibu na kuonda fangasi sugu na u.t.i sugu
Inaondoa miwasho ukeni
Inaondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa
Inaondoa harufu mbaya ukeni
Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) husababishwa na vimelea kitaalamu hujulikana E. Coli. Vimelea hawa huishi huishi kwenye mfumo wa chakula bila kuleta madhara yoyote wawapo humo, ila wakiingia kwenye njia ya mkojo huleta maambukizi na kusababishwa ugonjwa wa UTI.
Dalili za maambukizi ya njia ya mkojo
Maumivu wakati wa haja ndogo, na hisia ya mkojo kuchoma choma
Kubanwa na mkojo mara kwa mara
Maumivu ya kiuno na maumivu ya chini ya kitovu
Mkojo wa njano sana, na muda mwingine unatoa harufu
Uchovu
Homa
Kuna baadhi ya watu hawawi na dalili yoyote (asymptomatic bacteriuria)
Kukosa hamu ya kula,Kichefuchefu na kutapika.
Ikiwa una mojawapo ya changamoto hizi na umejaribu upata tiba na bado ujafanikiwa piga simu kwa ushauri